salaam,
Twakukaribisha kwenye mtandao huu. Katika nyakati hizi za taabu twahitaji mwongozo na majibu. Mtandao huu ni kwa ajili yako wewe! Waweza kupokea na kunakili kitabu cho chote au makala yo yote.
Vitabu vya bure.
Asante Sana, R.M. (Rudy) Harnisch