salaam,
Twakukaribisha kwenye mtandao huu. Katika nyakati hizi za taabu twahitaji mwongozo na majibu. Mtandao huu ni kwa ajili yako wewe! Waweza kupokea na kunakili kitabu cho chote au makala yo yote.
Vitabu vya bure.
Asante Sana, R.M. (Rudy) Harnisch
Katikati ya shida na majaribu, dhiki na mateso, ugonjwa na njaa, kukatishwa tamaa na kudharauriwa, uhusiano uliovunjika, uchungu na kukata tamaa. lipo tumaini kuu. Unaweza kupata faraja na kuanza maisha upya iwapo tu utamwangalia mwokozi. Mungu anasema "Niangalieni mimi, mkaeokolewe, enyi ncha zote za dunia, maana mimi ni Mungu, hapana mwingine" (Isaya 45:22)